Methali 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+ Ezekieli 22:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Watu wa nchi wenyewe wameendesha mbinu ya kupunja+ nao wamenyakua katika unyang’anyi,+ nao wamemtendea vibaya+ anayeteseka na aliye maskini, na kumpunja bila haki mkaaji mgeni.’+
10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+
29 Watu wa nchi wenyewe wameendesha mbinu ya kupunja+ nao wamenyakua katika unyang’anyi,+ nao wamemtendea vibaya+ anayeteseka na aliye maskini, na kumpunja bila haki mkaaji mgeni.’+