21 wale wanaomwingiza mtu ndani ya dhambi kwa neno lake,+ na wale wanaotega mtego kwa ajili ya yule anayekaripia langoni,+ na wale wanaomsukuma kando mwadilifu kwa mabishano matupu.+
7 Wanatamani sana mavumbi ya dunia yaliyo kwenye vichwa vya watu wa hali ya chini;+ nao huipotosha njia ya watu wapole;+ na mwanamume na baba yake wamemwendea msichana yuleyule,+ kwa kusudi la kulitia unajisi jina langu takatifu.+