Isaya 59:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na kweli haipo,+ na mtu yeyote anayeacha ubaya anaporwa.+ Na Yehova akaona, na ikawa vibaya machoni pake kwamba haki haikuwapo.+ Habakuki 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+
15 Na kweli haipo,+ na mtu yeyote anayeacha ubaya anaporwa.+ Na Yehova akaona, na ikawa vibaya machoni pake kwamba haki haikuwapo.+
13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+