27 Fanyeni kazi, si kwa ajili ya chakula ambacho huharibika,+ bali kwa ajili ya chakula ambacho hudumu kufikia uzima wa milele,+ ambacho Mwana wa binadamu atawapa ninyi; kwa maana juu yake huyo, Baba, naam Mungu, ametia muhuri wake wa kibali.”+
10 Kwa maana kupenda+ pesa ni chanzo+ cha mambo mabaya ya namna zote,+ na kwa kujitahidi kufikia upendo huo wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani nao wamejichoma wenyewe kila mahali kwa maumivu mengi.+