Zaburi 73:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nami sikutumia akili wala singeweza kujua;+Nilikuwa kama wanyama tu kwa maoni yako.+ Zaburi 94:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Eleweni, ninyi msiotumia akili mlio kati ya watu;+Nanyi wajinga, mtapata ufahamu wowote wakati gani?+ Danieli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+
8 Eleweni, ninyi msiotumia akili mlio kati ya watu;+Nanyi wajinga, mtapata ufahamu wowote wakati gani?+
10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+