Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+

      Nitamwogopa nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nitamhofu nani?+

  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.+

      Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+

  • Isaya 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na mwamba wake mwenyewe utapitilia mbali kwa sababu ya woga mtupu, na kwa sababu ya ishara+ wakuu wake wataingiwa na woga,” asema Yehova, ambaye nuru yake iko katika Sayuni na ambaye tanuru+ yake iko katika Yerusalemu.

  • Isaya 60:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana kwako wewe jua halitakuwa tena nuru wakati wa mchana, na mwezi hautakupa tena mwangaza kuwa nuru. Na Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na Mungu wako kuwa urembo wako.+

  • Ufunuo 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, usiku hautakuwapo tena,+ na hawana uhitaji wa nuru ya taa wala hawana nuru ya jua, kwa sababu Yehova Mungu ataangaza nuru+ yake juu yao, nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki