Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kama kukusanya fedha na shaba na chuma+ na risasi na bati katikati ya tanuru, ili kupuliza+ juu yake kwa moto kusudi ziyeyuke,+ ndivyo nitakavyowakusanya wao pamoja katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu, nami nitawapuliza na kuwayeyusha ninyi.

  • Zekaria 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+

  • Malaki 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa maana, tazama! siku ile inakuja ambayo inawaka kama tanuru,+ na wote wenye kimbelembele na wote wanaotenda uovu watakuwa kama majani makavu.+ Na siku hiyo inayokuja itawateketeza,” Yehova wa majeshi amesema, “hivi kwamba haitawaachia wao mzizi wala tawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki