2 Kabla sheria haijazaa kitu chochote,+ kabla siku hiyo haijapita kama makapi, kabla haijawajilia hasira inayowaka ya Yehova,+ kabla haijawajilia siku ya hasira ya Yehova,+
7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+