Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwako wewe iko chemchemi ya uzima;+Kwa nuru inayotoka kwako sisi tunaweza kuona nuru.+ Isaya 60:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 “Simama,+ Ee mwanamke, toa nuru,+ kwa maana nuru yako imekuja+ na utukufu wa Yehova umeangaza juu yako.+ Ufunuo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+ Ufunuo 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, usiku hautakuwapo tena,+ na hawana uhitaji wa nuru ya taa wala hawana nuru ya jua, kwa sababu Yehova Mungu ataangaza nuru+ yake juu yao, nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+
60 “Simama,+ Ee mwanamke, toa nuru,+ kwa maana nuru yako imekuja+ na utukufu wa Yehova umeangaza juu yako.+
23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+
5 Pia, usiku hautakuwapo tena,+ na hawana uhitaji wa nuru ya taa wala hawana nuru ya jua, kwa sababu Yehova Mungu ataangaza nuru+ yake juu yao, nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+