6 “Mimi mwenyewe, Yehova, nimekuita katika uadilifu,+ nami nikakushika mkono wako.+ Nami nitakulinda na kukutoa kuwa agano la watu,+ kuwa nuru ya mataifa,+
15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+