17 “Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu,+ wewe ambaye umekunywa mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.+ Bilauri, kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba, umekunywa, umemaliza.+
52Amka, amka, vaa nguvu zako,+ Ee Sayuni! Vaa mavazi yako mazuri,+ Ee Yerusalemu, jiji takatifu!+ Kwa maana mtu asiyetahiriwa na mtu asiye safi hawataingia ndani yako tena.+