Zaburi 123:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yetu imeshiba sana dhihaka ya wale wanaostarehe,+Dharau la wale wenye kiburi.+ Maombolezo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+
16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+