Zaburi 35:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao hufungua kinywa chao wazi dhidi yangu.+Wamesema: “Aha! Aha! jicho letu limeyaona.”+ Obadia 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hupaswi kuja katika lango la watu wangu siku ya maafa yao.+ Wewe, naam, wewe, hupaswi kukaza macho juu ya msiba wake siku ya maafa yake; wala kunyoosha mkono wako juu ya mali yake siku ya maafa yake.+
13 Hupaswi kuja katika lango la watu wangu siku ya maafa yao.+ Wewe, naam, wewe, hupaswi kukaza macho juu ya msiba wake siku ya maafa yake; wala kunyoosha mkono wako juu ya mali yake siku ya maafa yake.+