11 naye Hamani akawatangazia utukufu wa utajiri+ wake na hesabu kubwa ya wanawe+ na kila kitu ambacho mfalme alikuwa amemtukuza nacho na jinsi alivyokuwa amemwinua juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+