Methali 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 kwa maana hazina haitadumu mpaka wakati usio na kipimo,+ wala taji kwa vizazi vyote. Mhubiri 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ubatili mkubwa zaidi!” akasema mkutanishaji,+ “Kila kitu ni ubatili.”+