Methali 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+ Yakobo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+
5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+
17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+