Isaya 37:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na wakaaji wao watakuwa na mikono minyonge;+Wataingiwa na hofu tupu na aibu.+ Watakuwa kama majani ya shambani na majani mabichi yaliyo laini,+Majani ya dari+ na ya matuta mbele ya upepo wa mashariki.+ Isaya 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
27 Na wakaaji wao watakuwa na mikono minyonge;+Wataingiwa na hofu tupu na aibu.+ Watakuwa kama majani ya shambani na majani mabichi yaliyo laini,+Majani ya dari+ na ya matuta mbele ya upepo wa mashariki.+
6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+