Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana watakauka haraka kama majani,+

      Nao watafifia kama majani mapya ya kijani kibichi.+

  • Zaburi 92:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wakati waovu wanapochipuka kama majani+

      Na wote wanaotenda mambo yenye kuumiza wanapochanuka,

      Ni ili wao wapate kuangamizwa milele.+

  • Zaburi 103:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+

      Yeye huchanuka kama ua la shambani.+

  • Isaya 40:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+

  • Yakobo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki