Zaburi 37:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana watakauka haraka kama majani,+Nao watafifia kama majani mapya ya kijani kibichi.+ Zaburi 92:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati waovu wanapochipuka kama majani+Na wote wanaotenda mambo yenye kuumiza wanapochanuka,Ni ili wao wapate kuangamizwa milele.+ Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+ Isaya 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+ Yakobo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+
7 Wakati waovu wanapochipuka kama majani+Na wote wanaotenda mambo yenye kuumiza wanapochanuka,Ni ili wao wapate kuangamizwa milele.+
15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+
7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+