Yakobo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+