Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nimeona kwamba hakuna jambo bora kuliko kwamba mwanadamu afurahie kazi zake,+ kwa maana hilo ndilo fungu lake; kwa kuwa ni nani atakayemleta aone mambo yatakayokuwako baada yake?+

  • Mhubiri 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Furahia maisha pamoja na mke unayempenda+ siku zote za maisha yako yaliyo ya ubatili ambayo umepewa na Yeye chini ya jua, siku zote za hali yako iliyo ya ubatili, kwa maana hilo ndilo fungu lako maishani+ na katika kazi yako ngumu unayoifanya kwa bidii chini ya jua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki