Ayubu 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wanawe hupewa heshima, lakini yeye hajui hilo;+Nao wanakuwa wasio na maana, lakini yeye hawafikirii. Mhubiri 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ni nani anayejua mwanadamu anapata mema gani maishani+ kwa hesabu ya siku za maisha yake ya ubatili, anapozitumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu litakalotokea baada yake chini ya jua?+ Mhubiri 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+
21 Wanawe hupewa heshima, lakini yeye hajui hilo;+Nao wanakuwa wasio na maana, lakini yeye hawafikirii.
12 Kwa maana ni nani anayejua mwanadamu anapata mema gani maishani+ kwa hesabu ya siku za maisha yake ya ubatili, anapozitumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu litakalotokea baada yake chini ya jua?+
14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+