Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wanawe hupewa heshima, lakini yeye hajui hilo;+

      Nao wanakuwa wasio na maana, lakini yeye hawafikirii.

  • Methali 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usijisifu kwa sababu ya siku inayofuata,+ kwa maana hujui siku itazaa nini.+

  • Mhubiri 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana hakuna mtu anayejua yatakayokuja kuwako,+ kwa sababu ni nani anayeweza kumwambia jinsi yatakavyokuja kuwa?

  • Yakobo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki