Ayubu 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wanawe hupewa heshima, lakini yeye hajui hilo;+Nao wanakuwa wasio na maana, lakini yeye hawafikirii. Methali 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usijisifu kwa sababu ya siku inayofuata,+ kwa maana hujui siku itazaa nini.+ Mhubiri 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hakuna mtu anayejua yatakayokuja kuwako,+ kwa sababu ni nani anayeweza kumwambia jinsi yatakavyokuja kuwa? Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
21 Wanawe hupewa heshima, lakini yeye hajui hilo;+Nao wanakuwa wasio na maana, lakini yeye hawafikirii.
7 Kwa maana hakuna mtu anayejua yatakayokuja kuwako,+ kwa sababu ni nani anayeweza kumwambia jinsi yatakavyokuja kuwa?
14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+