Isaya 56:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Njooni! Acheni nichukue divai kidogo; na acheni tunywe kileo kupindukia.+ Na kesho hakika itakuwa tu kama leo, sikukuu yenye kupita kiasi.”+ Luka 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+ Yakobo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Haya, basi, ninyi ambao husema: “Leo au kesho tutasafiri kwenda jiji fulani nasi tutakaa mwaka mmoja huko, tutafanya biashara na kupata faida,”+
12 “Njooni! Acheni nichukue divai kidogo; na acheni tunywe kileo kupindukia.+ Na kesho hakika itakuwa tu kama leo, sikukuu yenye kupita kiasi.”+
19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+
13 Haya, basi, ninyi ambao husema: “Leo au kesho tutasafiri kwenda jiji fulani nasi tutakaa mwaka mmoja huko, tutafanya biashara na kupata faida,”+