Methali 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usijisifu kwa sababu ya siku inayofuata,+ kwa maana hujui siku itazaa nini.+ Luka 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo akasema, ‘Nitafanya hivi:+ Nitabomoa maghala yangu na kujenga yaliyo makubwa zaidi, na humo nitakusanya nafaka yangu yote na vitu vyangu vyema vyote;+
18 Kwa hiyo akasema, ‘Nitafanya hivi:+ Nitabomoa maghala yangu na kujenga yaliyo makubwa zaidi, na humo nitakusanya nafaka yangu yote na vitu vyangu vyema vyote;+