Yoshua 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi Yehova alipokuwa amekwisha kuwapa Israeli pumziko+ kutoka kwa adui zao wote kuzunguka pande zote, wakati Yoshua alipokuwa mzee na mwenye siku nyingi,+ Yoshua 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na ikawa baada ya mambo hayo, Yoshua mwana wa Nuni mtumishi wa Yehova akafa, akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.+
23 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi Yehova alipokuwa amekwisha kuwapa Israeli pumziko+ kutoka kwa adui zao wote kuzunguka pande zote, wakati Yoshua alipokuwa mzee na mwenye siku nyingi,+
29 Na ikawa baada ya mambo hayo, Yoshua mwana wa Nuni mtumishi wa Yehova akafa, akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.+