48 Naye akakusanya vyakula vyote vya ile miaka saba iliyoijia nchi ya Misri, akaviweka vyakula hivyo majijini.+ Vyakula vya shamba lililolizunguka jiji akaviweka katikati yake.+
11 Basi wakaweka juu yao wakuu wa kazi ya kulazimishwa kusudi wawakandamize katika kazi yao ya kubeba mizigo;+ nao wakajenga majiji ili yawe maghala kwa ajili ya Farao, yaani, Pithomu na Raamsesi.+