8 Ndipo Yehova akawatia mkononi+ mwa Israeli, nao wakawapiga na kuwafuatilia mpaka Sidoni+ jiji lenye hesabu kubwa ya watu na Misrefoth-maimu+ na nchi tambarare ya bondeni ya Mispe+ upande wa mashariki; nao wakaendelea kuwapiga, hata asibaki yeyote kati yao mwenye kuokoka.+
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+