Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi+

  • Yoshua 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Yehova akawatia mkononi+ mwa Israeli, nao wakawapiga na kuwafuatilia mpaka Sidoni+ jiji lenye hesabu kubwa ya watu na Misrefoth-maimu+ na nchi tambarare ya bondeni ya Mispe+ upande wa mashariki; nao wakaendelea kuwapiga, hata asibaki yeyote kati yao mwenye kuokoka.+

  • Waamuzi 1:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Asheri+ hakuwafukuza wakaaji wa Ako na wakaaji wa Sidoni+ na Alabu na Akzibu+ na Helba na Afiki+ na Rehobu.+

  • Mathayo 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki