Mwanzo 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo wakafanya agano+ huko Beer-sheba, halafu Abimeleki akaisimama pamoja na Fikoli mkuu wa jeshi lake nao wakarudi mpaka nchi ya Wafilisti.+ Waamuzi 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Yehova akaendelea kuwa na Yuda, naye akamiliki eneo lenye milima, lakini hakuweza kuwafukuza wakaaji wa ile nchi tambarare ya chini, kwa sababu walikuwa na magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.+
32 Kwa hiyo wakafanya agano+ huko Beer-sheba, halafu Abimeleki akaisimama pamoja na Fikoli mkuu wa jeshi lake nao wakarudi mpaka nchi ya Wafilisti.+
19 Na Yehova akaendelea kuwa na Yuda, naye akamiliki eneo lenye milima, lakini hakuweza kuwafukuza wakaaji wa ile nchi tambarare ya chini, kwa sababu walikuwa na magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.+