26Basi kukatokea njaa katika nchi hiyo, mbali na ile njaa ya kwanza iliyotokea siku za Abrahamu,+ kwa hiyo Isaka akaenda kwa Abimeleki, mfalme wa Wafilisti, huko Gerari.+
17 Na ikawa kwamba wakati Farao alipowaruhusu watu waende zao, Mungu hakuwaongoza kupitia njia ya nchi ya Wafilisti kwa kuwa tu ilikuwa karibu, kwa maana Mungu alisema: “Huenda hao watu watajuta watakapoona vita nao hakika watarudi Misri.”+