1 Samweli 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+ Yeremia 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+
29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+
6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+