Isaya 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna kitu gani ambacho bado sijalifanyia shamba langu la mizabibu, ambacho bado sijafanya ndani yake?+ Kwa nini nilitumaini lizae zabibu, lakini mwishowe likazaa zabibu-mwitu? Mika 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Enyi watu wangu,+ nimewafanya nini? Nami nimewachosha kwa njia gani?+ Toeni ushuhuda juu yangu.+
4 Kuna kitu gani ambacho bado sijalifanyia shamba langu la mizabibu, ambacho bado sijafanya ndani yake?+ Kwa nini nilitumaini lizae zabibu, lakini mwishowe likazaa zabibu-mwitu?