Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+ Isaya 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na zaidi ya hayo, wewe hukusikia,+ wala hukujua, wala tangu wakati ule na kuendelea sikio lako halikufunguliwa. Kwa maana najua vema kwamba bila shaka uliendelea kutenda kwa hila,+ nawe umeitwa ‘mkosaji tangu tumboni.’+
8 “Na zaidi ya hayo, wewe hukusikia,+ wala hukujua, wala tangu wakati ule na kuendelea sikio lako halikufunguliwa. Kwa maana najua vema kwamba bila shaka uliendelea kutenda kwa hila,+ nawe umeitwa ‘mkosaji tangu tumboni.’+