2 Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa wasafiri+ katika nyika! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao, kwa maana wote ni wazinzi,+ kusanyiko kuu la wanaofanya hila;+
11 Yuda ametenda kwa hila, na chukizo limefanywa katika Israeli na katika Yerusalemu;+ kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa Yehova,+ ambao Yeye amependa, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni awe bibi-arusi.+