Isaya 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na zaidi ya hayo, wewe hukusikia,+ wala hukujua, wala tangu wakati ule na kuendelea sikio lako halikufunguliwa. Kwa maana najua vema kwamba bila shaka uliendelea kutenda kwa hila,+ nawe umeitwa ‘mkosaji tangu tumboni.’+ Yeremia 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.” Hosea 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wamemtendea hila+ Yehova mwenyewe, kwa maana wamezaa wana wa kigeni.+ Sasa, mwezi mmoja utawameza pamoja na mafungu yao ya mashamba.+ Hosea 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini wao wenyewe, kama mtu wa udongo, wamevunja lile agano.+ Hapo ndipo wamenitendea kwa hila.+
8 “Na zaidi ya hayo, wewe hukusikia,+ wala hukujua, wala tangu wakati ule na kuendelea sikio lako halikufunguliwa. Kwa maana najua vema kwamba bila shaka uliendelea kutenda kwa hila,+ nawe umeitwa ‘mkosaji tangu tumboni.’+
20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”
7 Wamemtendea hila+ Yehova mwenyewe, kwa maana wamezaa wana wa kigeni.+ Sasa, mwezi mmoja utawameza pamoja na mafungu yao ya mashamba.+