Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na zaidi ya hayo, wewe hukusikia,+ wala hukujua, wala tangu wakati ule na kuendelea sikio lako halikufunguliwa. Kwa maana najua vema kwamba bila shaka uliendelea kutenda kwa hila,+ nawe umeitwa ‘mkosaji tangu tumboni.’+

  • Yeremia 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”

  • Hosea 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wamemtendea hila+ Yehova mwenyewe, kwa maana wamezaa wana wa kigeni.+ Sasa, mwezi mmoja utawameza pamoja na mafungu yao ya mashamba.+

  • Hosea 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini wao wenyewe, kama mtu wa udongo, wamevunja lile agano.+ Hapo ndipo wamenitendea kwa hila.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki