Kumbukumbu la Torati 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+ Zaburi 58:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;Wanasema uwongo.+ Zaburi 95:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+
7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+
3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;Wanasema uwongo.+
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+