16 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Unalala pamoja na mababu zako;+ na hakika watu hawa watainuka+ na kufanya uasherati na miungu migeni ya nchi wanayoiendea,+ kati yao, nao hakika wataniacha+ na kuvunja agano langu ambalo nimefanya pamoja nao.+