1 Samweli 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yehova akaendelea kumwambia Samweli: “Tazama! Ninafanya+ jambo katika Israeli ambalo yeyote akilisikia, masikio yake mawili yatawasha.+ 2 Wafalme 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndiyo sababu Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda, ambao yeyote akiusikia masikio yake mawili yatawasha.+
11 Na Yehova akaendelea kumwambia Samweli: “Tazama! Ninafanya+ jambo katika Israeli ambalo yeyote akilisikia, masikio yake mawili yatawasha.+
12 Ndiyo sababu Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda, ambao yeyote akiusikia masikio yake mawili yatawasha.+