Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+ Habakuki 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Oneni, kati ya mataifa, tazameni, mkaangaliane kwa mshangao.+ Shangaeni; kwa maana kuna utendaji ambao mtu anaufanya katika siku zenu, ambao hamtaamini ijapokuwa unasimuliwa.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
5 “Oneni, kati ya mataifa, tazameni, mkaangaliane kwa mshangao.+ Shangaeni; kwa maana kuna utendaji ambao mtu anaufanya katika siku zenu, ambao hamtaamini ijapokuwa unasimuliwa.+