Yeremia 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi: “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+
3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi: “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+