-
Yeremia 19:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Utasema, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu. Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi:
“‘“Niko karibu kuleta msiba mahali hapa, na masikio ya yeyote anayesikia kuuhusu yatawasha.
-