1 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Wafilisti wakapigana nao, na Waisraeli wakashindwa,+ na kila mmoja wao akakimbilia katika hema lake. Yalikuwa mauaji makubwa sana; wanajeshi 30,000 wa Israeli wanaotembea kwa miguu waliuawa.
10 Basi Wafilisti wakapigana nao, na Waisraeli wakashindwa,+ na kila mmoja wao akakimbilia katika hema lake. Yalikuwa mauaji makubwa sana; wanajeshi 30,000 wa Israeli wanaotembea kwa miguu waliuawa.