Zaburi 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waovu+ watarudi katika Kaburi,*+Naam, mataifa yote yanayomsahau Mungu.+ Zaburi 52:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela. Methali 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+ Isaya 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na lile agano lenu pamoja na Kifo hakika litavunjwa,+ na yale maono yenu pamoja na Kaburi* hayatasimama.+ Lile furiko la ghafula linalofurika, wakati linapopita katikati+—ninyi pia mtakuwa mahali pa kukanyagwa-kanyagwa nalo.+
5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela.
32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+
18 Na lile agano lenu pamoja na Kifo hakika litavunjwa,+ na yale maono yenu pamoja na Kaburi* hayatasimama.+ Lile furiko la ghafula linalofurika, wakati linapopita katikati+—ninyi pia mtakuwa mahali pa kukanyagwa-kanyagwa nalo.+