8 na kusonga mbele kupitia Yuda. Kwa kweli yeye atafurika na kuvuka.+ Atafika mpaka shingoni.+ Na kunyooshwa kwa mabawa+ yake kutatokea ili kuujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”+
“Tazama! Maji yanakuja+ kutoka kaskazini+ nayo yamekuwa mto unaofurika. Nayo yataifurikisha nchi na vyote vilivyomo, jiji na wale wanaokaa humo.+ Na hakika watu watalia, na kila mtu anayekaa katika nchi atapiga mayowe.+