-
Yeremia 47:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Yehova anasema hivi:
“Tazama! Maji yanakuja kutoka kaskazini.
Yatakuwa mto unaofurika.
Nayo yataifunika nchi na kila kitu kilichomo,
Jiji na wale wanaokaa humo.
Wanaume watalia kwa sauti,
Na kila mtu anayeishi katika nchi ataomboleza.
-