Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+

  • Yeremia 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kukoroma kwa farasi zake kumesikiwa kutoka Dani.+ Kutokana na sauti ya kulia kwa farasi-dume zake nchi nzima imeanza kutikisika.+ Nao wanaingia na kuila nchi na vyote vilivyomo, jiji na wakaaji wake.”

  • Yeremia 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ni nani huyu anayepanda juu kama Mto Nile, kama mito ambayo maji yake yanajirusha?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki