7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+
16 Kukoroma kwa farasi zake kumesikiwa kutoka Dani.+ Kutokana na sauti ya kulia kwa farasi-dume zake nchi nzima imeanza kutikisika.+ Nao wanaingia na kuila nchi na vyote vilivyomo, jiji na wakaaji wake.”