7 kwa hiyo, tazama! Yehova analeta juu yao+ maji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,+ mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.+ Naye hakika atakuja juu ya sakafu zake zote za vijito na kwenda juu ya kingo zake zote
“Tazama! Maji yanakuja+ kutoka kaskazini+ nayo yamekuwa mto unaofurika. Nayo yataifurikisha nchi na vyote vilivyomo, jiji na wale wanaokaa humo.+ Na hakika watu watalia, na kila mtu anayekaa katika nchi atapiga mayowe.+