1 Samweli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Hana akasimama baada ya wao kula huko Shilo na baada ya kunywa, huku Eli kuhani akiwa ameketi juu ya kiti kilicho kando ya mwimo wa mlango wa hekalu+ la Yehova.
9 Ndipo Hana akasimama baada ya wao kula huko Shilo na baada ya kunywa, huku Eli kuhani akiwa ameketi juu ya kiti kilicho kando ya mwimo wa mlango wa hekalu+ la Yehova.