5 Kisha utayachukua yale mavazi+ na kumvika Haruni kwa kanzu na koti lisilo na mikono la efodi na kwa efodi na kifuko cha kifuani, nawe utamfunga hicho kwa kukaza kwa mshipi wa efodi.+
21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”