Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Na haya ndiyo mavazi watakayoyafanya: kifuko cha kifuani,+ na efodi+ na koti lisilo na mikono+ na kanzu yenye mirabamiraba, kilemba+ na ukumbuu;+ nao watafanya mavazi matakatifu kwa ajili ya Haruni ndugu yako na wanawe, ili awe kuhani kwangu.

  • Mambo ya Walawi 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya hayo akamvika kanzu+ na kumfunga ukumbuu+ na kumvika lile koti lisilo na mikono+ na kumvika efodi+ na kumfunga kwa mshipi+ wa ile efodi na kuufunga imara kwa mshipi huo.

  • Mambo ya Walawi 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Anapaswa kuvaa ile kanzu takatifu ya kitani,+ nayo ile suruali+ ya kitani itakuwa mwilini mwake, naye atajifunga kwa ukumbuu+ wa kitani na kujivika kile kilemba+ cha kitani. Hayo ni mavazi matakatifu.+ Naye atauosha mwili wake katika maji+ na kuyavaa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki