Kutoka 39:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 na ule ukumbuu+ wa kitani bora kilichosokotwa na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili, kazi ya mfumaji, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Isaya 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na uadilifu utakuwa mshipi wa viuno vyake,+ na uaminifu mshipi wa viuno vyake.+
29 na ule ukumbuu+ wa kitani bora kilichosokotwa na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili, kazi ya mfumaji, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.